SLIDE SHOWS ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA WAIGIZAJI MKOA WA KINONDONI......LOL

Chama Cha Waigizaji Mkoa wa Kinondoni Photos Slideshow: CHAMA’s trip to Dar es Salaam, Tanzania was created by TripAdvisor. See another Dar es Salaam slideshow. Take your travel photos and make a slideshow for free.

Thursday, December 29, 2011

MSANII WA MAIGIZO ''MKWERE'' WA MIZENGWE KUFUNGA NDOA KESHO TAREHE 30th December 2011

Muigizaji Nguli wa vichekesho kutoka kipindi chao cha Mizengwe kinachorushwa na runinga ya ITV,Bwana Mkwere kesho anataraji kufunga ndoa.Harusi itakuwa maeneo ya Mabibo nyumbani kwao kabisa  na Bibi Harusi. '''Mkwere ameiambia Blog hii kuwa, siku ya leo ni Mkesha wa harusi yangu hapa kwetu Sinza Mugabe.Kisha kesho ntakuwa navuta jiko ndani
Chama Cha waigizaji Mkoa wa Kinondoni tunapenda kumtakia kila lakheri katika safari yake hiyo.