SLIDE SHOWS ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA WAIGIZAJI MKOA WA KINONDONI......LOL

Chama Cha Waigizaji Mkoa wa Kinondoni Photos Slideshow: CHAMA’s trip to Dar es Salaam, Tanzania was created by TripAdvisor. See another Dar es Salaam slideshow. Take your travel photos and make a slideshow for free.

Saturday, December 31, 2011

MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA MUSWAADA TAIFA AFANYIWA UPASUAJI WA KIDOLE TUMBO...

 Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa mswaada mh Maisala akiwa amepumzika katika hospital ya amana dar-es-salaam baada ya kufanyiwa upasuaji wa kidole cha tumbo kilichokuwa kikimsumbua hafla toka siku ya j.nne iliopita...
 Rais wa shirikisho la filamu tanzania mh:Saimoni mwakifamba akiwa na wajumbe wa bodi wa shirikisho hilo mh:deo songa na ali baucha walipomtembelea kumjulia hali yake katika hospital ya amana dar-es-salaam...
Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa mswaada taifa mh:Maisala akionyesha sura ya furaha baada ya kufanyiwa upasuaji wa kidole tumbo alhamis iliopita... 

Friday, December 30, 2011

MKWELE WA ''MIZENGWE'' AFUNGA NDOA LEO 30 DEC 2011....

 Mkwele baada ya kuoa leo saa nane kamili mchana mabibo dar-es-salaam
 Bwana harusi mkwele akiwa na baba wa bi harusi wakati wa kufunga ndoa leo...
 Mkwele na baba wa bi harusi leo mabibo alipofunga ndoa...


 BABA HARUSI
 Shehe ambaye alimuozesha ndugu mkwele akimuuliza bi harusi kwanza kabla ya kufungisha ndoa..
 ndugu na jamaa wa bwana harusi na bi harusi wakisubiri ndoa kufanyika huko mabibo...
 Madrasa dampa wakiwa wanafanya kazi yao kwa taratibu kabla ya ndoa..

Mpango mzima full msosi...

Thursday, December 29, 2011

KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA KILIFANYIKA 28 DEC 2011

 RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA SIAMON MWAKIFAMBA AKIWA NA KATIBU WAKE WILLSON MAKUBI WAKIWA KWENYE KIKAO CHA KWANZA CHA SHIRIKISHO...
 RAIS MH:SAIMON MWAKIFAMBA AKIWA NA MAKAMU WAKE MH:SULEIMAN LINGANDE WAKIWA MAKINI KUWASIKILIZA WAJUMBE WA BODI...
 MJUMBE WA BODI YA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA MH:JOHN KARAGE AKIELEZEA MIKAKATI YA SHIRIKISHO....
 MJUMBE WA BODI YA SHIRIKISHO MH:CHRISTIAN KAUZENI AKITAKA KUULIZA SWALI KWA RAIS HM:SAIMON MWAKIFAMBA...

RAIS MH: SAIMON MWAKIFAMBA AKIELEZEA BAADHI YA MIKAKATI AMBAYO TAFF ITAFANYA KWA MWAKA UJAO...

MSANII WA MAIGIZO ''MKWERE'' WA MIZENGWE KUFUNGA NDOA KESHO TAREHE 30th December 2011

Muigizaji Nguli wa vichekesho kutoka kipindi chao cha Mizengwe kinachorushwa na runinga ya ITV,Bwana Mkwere kesho anataraji kufunga ndoa.Harusi itakuwa maeneo ya Mabibo nyumbani kwao kabisa  na Bibi Harusi. '''Mkwere ameiambia Blog hii kuwa, siku ya leo ni Mkesha wa harusi yangu hapa kwetu Sinza Mugabe.Kisha kesho ntakuwa navuta jiko ndani
Chama Cha waigizaji Mkoa wa Kinondoni tunapenda kumtakia kila lakheri katika safari yake hiyo.

Monday, December 26, 2011

X-MAS AND NEW YEAR...


CHAMA CHA WAIGIZAJI MKOA WA KINONDONI



CHAMA CHA WAIGIZAJI MKOA WA KINONDONI INAPENDA KUWATAKIA FURAHA YA X-MAS NA MWAKA MPYA KWA WANACHAMA WOTE NA WAPENDA TASNIA NZIMA YA FILAMU TANZANIA.... CHAMA KINAWATAKIA AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU.....

Thursday, December 22, 2011

MWAKIFAMBA ASHINDA UCHAGUZI WA TAFF KWA KISHINDOOO....

RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA
MH:SAIMON MWAKIFAMBA.
 Rais wa shirikisho la filamu tanzania Ndugu saimon mwakifamba baada ya kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu wa taff uliofanyika leo basata ilala,mwakifamba alipata kura za ndio 18 na hapana 0 na zilizoharibika 0 kati ya wapiga kura 18 waliostahili kikatiba kupiga kura ... 
MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA MH: LINGANDE
Makamu wa rais wa shirikisho la filamu tanzania ndugu lingande aliibuka mshindi baada ya kumgaragaza vibaya sana mpizani wake ndugu basila kwa kupata kura 15 kati ya 18 na ndugu basila akaambulia kura 2 tu za kufutia machozi...


WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA
MH:EMANUEL MNYAMBA MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 18 KATI YA 18 ZA WAPIGA KURA..
MH:WILSON MAKUBI MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 18 KATI YA KURA 18 ZILIZOPIGWA..
MH:MAKAME BAJOMBA MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 18 KATI YA KURA 18 ZILIZOPIGWA..
MH:MCHUNGAJI MIKE SANGU MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 17 KATI YA KURA 18 ZILIZOPIGWA..
MH:CHRISTIAN KAUZENI MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 17 KATI YA 18 ZILIZOPIGWA..
MH:JOHN KALLAGE MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 16 KATI YA 18 ZILIZOPIGWA...
MH:ALI M BAUCHA MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 15 KATI YA KURA 18 ZILIZOPIGWA...
MH:DEO SONGA MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 14 KATI YA 18 ZILIZOPIGWA...
MH:MORIN MVUONI MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 11 KATI YA 18 ZILIZOPIGWA...
MH:MWANAHAMISI HELA MJUMBE WA BODI ALIPATA KURA 10 KATI YA KURA 18 ZILIZOPIGWA...
VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA BAADA YA KUCHAGULIWA KIKATIBA 22 DEC 2011...
viongozi wa vyama mbali mbali wa shirikisho wakiwa katika ukumbi wa kupigia kura basata ilala leo..
kamati ya uchaguzi na viongozi wa basata wakihesabu kura za wagombea....


kiongozi wa basata mzee mayange akielekeza taratibu za kuhesabu kura...
katibu wa shirikisho aliepita wilson makubi akitoa maelekezo ya awali kwa viongozi wa vyama kuhusu upigaji kura kabla ya kuanza zoezi hilo la kihistoria hapa tanzania..
MH:mchungaji Mike sangu akipiga kura katika uchaguzi mkuu wa shirikisho la filamu tanzania..

Wednesday, December 21, 2011

KESHO 22 DEC 2011 UCHAGUZI WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA...

Mwenyekiti wa chama cha waigizaji mkoa wa kinondoni ali baucha..

ndugu baucha anawaomba wanachama wa vyama vyote vya shirikisho waje kwa wingi siku ya kesho j.tano basata saa nne asubuhi kushudia historia ya tanzania kwenye uchaguzi wa shirikisho kupata viongozi wa kikatiba...AMKA NURU YA HAKI.....

Monday, December 19, 2011

UCHAGUZI WA TAFF WAKARIBIA TAREHE 22 DEC 2011..

NDUGU SAIMON MWAKIFAMBA.


WANACHAMA WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA...WOTE MNAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI SIKU YA UCHAGUZI TAREHE 22 DEC 2011 BASATA ILALA DAR-ES-SALAAM SAA NNE ASUBUHI KUSHUHUDIA KUPATIKANA KWA VIONGOZI WA KWANZA KIKATIBA WA SHIRIKISHO HILO TOKA LIUNDWE, USIKOSE KUJUA VIONGOZI WAKOOOO.....AMKA..NURU YA HAKI....

SAFARI ZA KUTEMBELEA VIKUNDI ZAENDELEA (KIBAFUTE,NEW VISION ARTS...)

 new vision arts group wakiwa na viongozi wa chama cha waigizaji mkoa wa kinondoni...
 kibafute group wakiwa pamoja na viongozi pia...
 mwalimu wa new vision arts ndugu  nwaka...


 msanii wa new vision bi sura akiuliza swali pia...
mkurugenzi wa new vision arts  ndugu okasha akiuliza swali kwa viongozi..

Thursday, December 15, 2011

MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAIGIZAJI MKOA WA PWANI AFIWA NA MZAZI WAKE..

 Waumini wakiusalia mwili wa marehemu mohammed simba aliefariki jana tarehe 14 dec 2011 saa sita mchana huko kibaha ..mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi...amin
 mwili wa marehemu mzee mohamed simba ukiteremshwa ndani ya kaburi kongowe mkoa wa pwani...
 Rais wa shirikisho la filamu tanzania (TAFF)Saimon mwakifamba akiwa na viongozi mbalimbali wa vyama alipokuwa pamoja na kiongozi mwenzao wa pwani aliefiwa na mzazi wake kabla ya mazishi nyumbani kwa marehemu mzee Mohamed simba ambae ni baba wa mwenyekiti wa chama cha wigizaji mkoa wa pwani...
 mwenyekiti wa chama cha waigizaji mkoa wa pwani Mh simba.m. simba..
viongozi mbali mbali wa ccm na vyama vingine nao walijumuika katika mazishi hayo yaliofanyika kongowe,kibaha...