SLIDE SHOWS ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA WAIGIZAJI MKOA WA KINONDONI......LOL

Chama Cha Waigizaji Mkoa wa Kinondoni Photos Slideshow: CHAMA’s trip to Dar es Salaam, Tanzania was created by TripAdvisor. See another Dar es Salaam slideshow. Take your travel photos and make a slideshow for free.

Friday, December 14, 2012

TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA KIKATIBA.

YAH:MKUTANO MKUU WA KIKATIBA WA CHAMA CHA WAIGIZAJI KINONDONI UTAKAOFANYIKA J,MOSI  TAR. 22/DECEMBER/2012  KUANZIA SAA 4:00  ASUBUHI UKUMBI PALE PALE VIJANA HOSTEL KINONDONI.WANACHAMA WOTE MNATAKIWA KUHUDURIA BILA KUKOSA NI MUHIMU SANA KWA USTAWI WA CHAMA..AMKA TAFF NURU YA HAKI..BY MAKAM M/KITI  SALUM HUSSEIN CHILWA.

TAARIFA RASMI KWA WAIGIZAJI WOTE.



waigizaji wote wanatakiwa kuwa ndani ya mfumo rasmi unaotambulika ktk sekta ya filamu kuanzia tarehe 1/january/2013.Na  kila mdau wa taaluma inayohusiana na filamu anatakiwa awe amejisajili ktk chama kinachohusiana na taaluma yake vinginevyo hataruhusiwa kufanya kazi yoyote inayo husiana na filamu kuanzia tarehe hiyo.Hivyo basi TDFAA mkoa wa kikatiba kinondoni inawahimiza wale wote wenye mapenzi mema na sekta ya filamu Tanzania kuitumia fursa hii kwa wakati ili kuepuka usumbufu wowote unaoweza kuwapata kutokana na utekelezaji wa mpango huu wa serikali kuifanya sekta ya filamu kuwa rasmi kuanzia tar.1/january/2013 tunawatakia ujenzi mwema wa taifa la TANZANIA na SEKTA ya FILAMU,PAMOJA TUNAWEZA. AMKA TAFF NURU YA HAKI